'MCHAGA' JERRY MURO NA 'MZARAMO' HAJJI MANARA SASA AMANI!
Wakuu wa Idara za Mawasiliano, Jerry Muro wa Yanga SC (kushoto) na Hajji Manara wa Simba SC (kulia) wakiwa pamoja usiku wa jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar kufuatilia mchezo kati ya Yanga na Mtibwa Sugar Kombe la Mapinduzi. Yanga SC ilishinda 2-1. Hivi karibuni Muro aliingia kwenye mtafaruku na Manara, lakini sasa inaonekana wawili hao wamefuta tofauti zao.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment