Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke akiwa na beji ya Unahodha wa timu akimtoka beki wa Exeter, Jordan Moore-Taylor usiku wa jana Uwanja wa St James Park, katika mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya Liverpool yakifungwa na Jerome Sinclair na Brad Smith, wakati ya Exeter yamefungwa na Tom Nichols na Lee Holmes na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jose Mourinho learns punishment for red card after angry Benfica boss fumed
at former player who called him a traitor '50 TIMES' in heated draw with
Porto
-
Mourinho, who has previously coached Porto, is now manager of Benfica in
his native Portugal and oversaw his side's 2-2 draw with his old club, but
the res...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment