Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke akiwa na beji ya Unahodha wa timu akimtoka beki wa Exeter, Jordan Moore-Taylor usiku wa jana Uwanja wa St James Park, katika mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya Liverpool yakifungwa na Jerome Sinclair na Brad Smith, wakati ya Exeter yamefungwa na Tom Nichols na Lee Holmes na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Drake Maye Wasn't Considered by Commanders for No. 2 Pick in
2024 Draft
-
The Washington Commanders reportedly weren't considering North Carolina
quarterback Drake Maye with the No. 2 overall draft pick in this year's NFL
draft.…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment