Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke akiwa na beji ya Unahodha wa timu akimtoka beki wa Exeter, Jordan Moore-Taylor usiku wa jana Uwanja wa St James Park, katika mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya Liverpool yakifungwa na Jerome Sinclair na Brad Smith, wakati ya Exeter yamefungwa na Tom Nichols na Lee Holmes na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'When I got the call, I thought it was a joke!': GIANFRANCO ZOLA on his
'unbelievable' Ryder Cup assignment, the 'very wild' celebrations after
Team Europe's victory - and his favourite Chelsea memory
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY ALEX JENNINGS: Beside a beautiful golf course in
Mallorca, an Italian is explaining to an Englishman how he came to help
Team Europe...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment