Mshambuliaji wa Arsenal, Joel Campbell akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland kwenye mchezo wa Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Aaron Ramsey na Olivier Giroud, wakati la Sunderland limefungwa na Jeremain Lens PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jaden Crumedy NFL Draft 2024: Scouting Report for Carolina Panthers DL
-
HEIGHT: 6'4" WEIGHT: 301 HAND: 9½" ARM: 33" WINGSPAN: 77½" 40-YARD DASH:
4.97 3-CONE: N/A SHUTTLE: 4.66 VERTICAL: 29.5" BROAD: 8'9" POSITIVES — Good
size and…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment