Mshambuliaji wa Arsenal, Joel Campbell akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland kwenye mchezo wa Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Aaron Ramsey na Olivier Giroud, wakati la Sunderland limefungwa na Jeremain Lens PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shetland man's lucky escape after drone attacks in Iraq
-
Oil worker Ross Slater said the drones landed metres from his accommodation
but failed to explode
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment