Beki chipukizi Mtanzania, Emil Mgeta (kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Neckarsulm Sports Union ya Daraja la Nne Ujerumbani jana baada ya kutambulishwa jana. Mgeta aliyekwenda huko akitokea timu ya vijana ya Simba SC, maarufu kama Simba B, anatarajiwa kuichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza katika mchezo wa kirafiki Julai 15.
Belgium vs Egypt - World Cup LIVE: Mohamed Salah's side draw first blood as
seven-time AFCON champions eye first ever tournament win
-
Follow Daily Mail Sport's live coverage as Belgium get their World Cup
campaign underway in Group G as they take on Egypt at the Seattle Stadium.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment