• HABARI MPYA

    Sunday, July 26, 2015

    SERGEY KOVALEV AMTWANGA 'HADI HURUMA' MWARABU MFARANSA

    Bondia Mfaransa, Nadjib Mohammedi akienda chini baada ya kuchapwa makonde na Mrusi, Sergey Kovalev katika pambano la Light Heavy mjini Las Vegas, Marekani usiku wa kuamkia leo. Mrusi huyo alitetea taji lake kwa ushindi wa Knockout (KO) raundi ya tatu. Na sasa atarejea nyumbani Moscow kujiandaa na pambano lake lijalo Novemba dhidi ya Jean Pascal, ambaye usiku wa jana alimpiga Yunieski Gonzalez kwa pointi ukumbi wa Mandalay Bay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERGEY KOVALEV AMTWANGA 'HADI HURUMA' MWARABU MFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top