Bondia Mfaransa, Nadjib Mohammedi akienda chini baada ya kuchapwa makonde na Mrusi, Sergey Kovalev katika pambano la Light Heavy mjini Las Vegas, Marekani usiku wa kuamkia leo. Mrusi huyo alitetea taji lake kwa ushindi wa Knockout (KO) raundi ya tatu. Na sasa atarejea nyumbani Moscow kujiandaa na pambano lake lijalo Novemba dhidi ya Jean Pascal, ambaye usiku wa jana alimpiga Yunieski Gonzalez kwa pointi ukumbi wa Mandalay Bay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨 Lower wages than at Benfica! Mourinho signs for Real
-
The sparrows had been chirping it from the rooftops for quite some time,
and now Benfica have made it official: José Mourinho is returning to Madrid
and wi...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment