• HABARI MPYA

    Sunday, July 26, 2015

    CHELSEA YAISHINDA PSG KWA PENALTI 6-5 BAADA YA SARE YA 1-1

    Mshambuliaji wa Chelsea, Victor Moses (kushoto) akibinuka samasoti kushangilia bao lake alilofunga katika sare ya 1-1 dhidi ya PSG jana Uwanja wa  Bank of America mjini Charlotte, North Carolina, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Chelsea ilishinda kwa penalti 6-5 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAISHINDA PSG KWA PENALTI 6-5 BAADA YA SARE YA 1-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top