Eden Hazard wa Chelsea akimiliki mpira mbele ya beki wa New York Red Bulls, Shawn McLaws katika mchezo kirafiki alfajiri ya leo mjini New York, Marekani. Red Bulls, timu ya mwisho Thierry Henry kuchezea ilishinda 4-2, mabao yao yakifungwa na Castellanos dakika ya 51, Adams dakika ya 67, Davis dakika ya 73 na 78, wakati ya Chelsea yalifungwa na Remy dakika ya 26 na Hazard dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨 Lower wages than at Benfica! Mourinho signs for Real
-
The sparrows had been chirping it from the rooftops for quite some time,
and now Benfica have made it official: José Mourinho is returning to Madrid
and wi...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment