David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Strike-ASUU, other unions not invited to last Thursday’s meeting- Labour Ministry
-
From Adanna Nnamani, Abuja The Federal Ministry of Labour and Employment
has clarified on not inviting the Academic Staff Union of Universities
(ASUU) to...
Dakika 30 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni