David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What to know about the evolution of execution methods in the US
-
Responding to a lawsuit by an Alabama death row inmate, a federal appeals
court says the state's use of nitrogen gas to put people to death needs
more stud...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment