David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Infantino finished? Could Uefa boycott World Cup? What happens now?
-
It's been a seismic 48 hours for football after Uefa threatened to boycott
the World Cup and Concacaf rejected Gianni Infantino's funding plan - what
happe...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment