• HABARI MPYA

    Monday, July 27, 2015

    RAHEEM STERLING APIGA MBILI MAN CITY IKIUA 8-1 VIETNAM

    David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAHEEM STERLING APIGA MBILI MAN CITY IKIUA 8-1 VIETNAM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top