David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Kirk Cousins Got 'Cursory' Look from Steelers Before Russell
Wilson Deal
-
Before dramatically overhauling their quarterback room this offseason, the
Pittsburgh Steelers initially gauged the possibility of signing Kirk
Cousins in…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment