• HABARI MPYA

    Friday, July 24, 2015

    LIVERPOOL YABANWA, SARE 1-1 NA MALAYSIA XI

    Nathaniel Clyne takes on Azamuddin Akli of the Malaysia XI during the pre-season tour match at the Bukit Jalil National Stadium
    Mchezaji wa Liverpool, Lucas Leiva akiwania mpira dhidi ya Patrick wa Malaysia XI katika mchezo wa kirafiki kwenye ziara ya kujiandaa na msimu Uwanja wa Taifa wa Bukit leo. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Liverpool ikisawazisha kupitia kwa Jordon Ibe baada ya Mliberia Patrick Ronaldinho Wleh kutangulia kuwafungia wenyeji PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YABANWA, SARE 1-1 NA MALAYSIA XI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top