Beki Mtanzania, Emily Mugeta akiwatoka wachezaji wa TSV Pfedelbach katika mchezo wa kirafiki jana ambai timu yake, Neckarsulm Sports Union (NSU), ilishinda 2-0, mabao ya Yannick Titzmann na Sebastian Kappes.
 |
| Beki huyo wa zamani wa Simba SC, Emily Mugeta hapa akiwa na kikosi kizima cha Neckarsulm Sports Union (NSU) |
|
|
|
|
0 comments:
Post a Comment