Wachezaji wa Arsenal wakisherehekea na Kombe la Emirates baada ya kuifunga 1-0 Wolfsburg ya Ujerumani, bao pekee la Theo-Walcott kwa pasi ya Jeff Reine-Adelaide Uwanja wa Emirates leo. Kikosi cha Arsene Wenger kimetwaa Kombe kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2010.
-



.png)
0 comments:
Post a Comment