Danny Ings (kushoto) akimlamba chenga kipa wa Adelaide United, Eugene Galekovic (katikati) kabla ya kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool leo Uwanja wa Adelaide Oval. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na James Milner na Liverpool sasa imeshinda zake zote tatu za kirafiki kwenye ziara ya kujiandaa na msimu Mashariki ya Mbali na Australia hadi sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United close to agreeing terms with Barcelona over midfielder Frenkie de Jong
-
Manchester United are inching towards a conclusion in their protracted
pursuit of Frenkie de Jong from Barcelona and hope to have the transfer
completed th...
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni