Danny Ings (kushoto) akimlamba chenga kipa wa Adelaide United, Eugene Galekovic (katikati) kabla ya kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool leo Uwanja wa Adelaide Oval. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na James Milner na Liverpool sasa imeshinda zake zote tatu za kirafiki kwenye ziara ya kujiandaa na msimu Mashariki ya Mbali na Australia hadi sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Infantino finished? Could Uefa boycott World Cup? What happens now?
-
It's been a seismic 48 hours for football after Uefa threatened to boycott
the World Cup and Concacaf rejected Gianni Infantino's funding plan - what
happe...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment