Danny Ings (kushoto) akimlamba chenga kipa wa Adelaide United, Eugene Galekovic (katikati) kabla ya kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool leo Uwanja wa Adelaide Oval. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na James Milner na Liverpool sasa imeshinda zake zote tatu za kirafiki kwenye ziara ya kujiandaa na msimu Mashariki ya Mbali na Australia hadi sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United break TWO unwanted Premier League records as they limp to
humiliating 18th defeat of the season against Chelsea
-
Marc Cucurella's header proved the difference - after a delightful assist
from Reece James - and condemned the Red Devils to an 18th league loss.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment