Luis Suarez wa Barcelona akipambana na Leonardo wa Los Angeles Galaxy katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mbele ya mashabiki 93,000 mjini Pasadena asubuhi ya leo. Barca ilishinda 2-1 mabao ya Suarez naSergi Roberto, wakati bao la LA Galaxy lilifungwa naTommy Meyer. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Best available OL in 2026 NFL Draft: Updated results, top prospects still
on board
-
The latest news and notes from Pittsburgh.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment