• HABARI MPYA

    Sunday, July 26, 2015

    ARSENAL YAICHAPA LYON 6-0 KOMBE LA EMIRATES

    Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Lyon ya Ufaransa katika mchezo wa Kombe la Emirates, Uwanja wa Emirates, London jana. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Alex Oxlade-Chamberlain,
    Alex Iwobi, Aaron Ramsey, Mesut Ozil na Santi Cazorla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAICHAPA LYON 6-0 KOMBE LA EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top