• HABARI MPYA

    Saturday, July 25, 2015

    KCCA YATINGA ROBO FAINALI KAGAME BAADA YA KUICHAPA 1-0 MALAKIA

    Mchezaji wa KCCA ya Uganda, Ntege Ivan akimtoka mchezaji wa Malakia ya Sudan Kusini, Saddam Opera Peter katika mchezo wa Kundi C Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame mchana wa leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. KCCA ilishina 1-0, bao pekee la Isaac Sserunkuma dakika ya 14 hivyo kufuzu Robo Fainali ya michuano hiyo. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KCCA YATINGA ROBO FAINALI KAGAME BAADA YA KUICHAPA 1-0 MALAKIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top