IMEWEKWA JULAI 16, 2013 SAA 9:52 USIKU
KIUNGO Steven Gerrard amesaini Mkataba mpya wa miaka miwili wa kuendelea kuichezea Liverpool, ambao utamfanya adumu Anfield hadi atakapotimiza miaka 35.
Nahodha huyo wa Liverpool, ameiambia tovuti ya Liverpool kwamba: "Nafikiri kila mmoja anajua inamaanisha nini kwangu,".
Imekubali: Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard amesaini Mkataba wa kuendelea kuichezea klabu hiyo hadi mwaka 2015