• HABARI MPYA

    Monday, July 22, 2013

    REAL MADRID YAUA 6-0 ENGLAND, RONALDO APIGA MBILI PEKE YAKE

    IMEWEKWA JULAI 22, 2013 SAA 8:07 USIKU
    MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo ameendeleza furaha, baada ya kufunga mabao mawili wakati Real Madrid ikiifumua mabao 6-0 Bournemouth na kumfanya kocha
    Carlo Ancelotti awe na mwanzo mzuri kazini katika klabu hiyo ya matajiri.
    Ronaldo alifunga dakika ya 22 na 40, wakati mabao mengine ya Real katika mchezo huo wa kujiandaa na msimu yalifungwa na Khedira dakika ya 43, Higuain dakika ya 46, Di Maria dakika ya 69 na Casemiro 82.
    Kikosi cha Real Madrid kilikuwa: Lopez/Fernandez dk45, Carvajal/Casado dk68, Nacho/Quini dk68, Pepe/Mateos dk45, Coentrao/Cheryshev dk45, Modric/Casemiro dk45, Khedira/Illarramendi dk45, Ronaldo/Di Maria dk45, Isco/Kaka dk45, Ozil/Morata dk45 na Benzema/Higuain.
    Bournemouth: Flahavan/Jalal dk84, Francis/Purches dk84, Cook/Hughes dk61, Elphick/Addison dk73, Daniels/Stockley dk84, Coulibaly/Harte dk66, Arter/Thomas dk84, MacDonald/Wakefield dk84, Fraser/Matthews dk73, Pitman/Ward dk27 na Grabban/Chiedozie dk66.Main man: Real Madrid's Cristiano Ronaldo celebrates after putting his side ahead away to Bournemouth
    Mtu wa mbele: Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real dhidi ya Bournemouth
    Making it two: Ronaldo gives Bournemouth's goelkeeper Darryl Flahavan no chance as he doubles Real's lead
    Ronaldo akimtungua kipa wa Bournemouth, Darryl Flahavan
    Time to celebrate: Real's victory was unsurprisingly dominant
    Real wakishangilia ushindi wao
    Return to England: Carlo Ancelotti appeared characteristically relaxed
    Amerejea England: Carlo Ancelotti akifurahia mchezo
    Zizou: Assistant coach Zinedine Zidane is a recent addition to Real's new coaching team
    Zizou: Kocha Msaidizi wa Real, Zinedine Zidane
    Clinical: Gonzalo Higuain scored straight after half-time
    Gonzalo Higuain akifunga
    Close control: Real's Isco keeps the ball from Shaun MacDonald
    Isco akiambaa na mpira dhidi ya Shaun MacDonald
    Classy: Former Spurs midfielder Luka Modric was again in action
    Kiungo wa zamani wa Spurs, Luka Modric aling'ara
    Sliding in: Tommy Elphick goes in hard on Ronaldo
    Tommy Elphick akijaribu kumdhibiti Ronaldo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: REAL MADRID YAUA 6-0 ENGLAND, RONALDO APIGA MBILI PEKE YAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top