• HABARI MPYA

    Saturday, July 27, 2013

    KIFO CHA STARS NAMBOOLE LEO, STARS ILIVYO...

    IMEWEKWA JULAI 27, 2013 SAA 3:09 USIKU
    Kiungo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Haroun Chanongo akimtoka beki wa Uganda katika mchezo wa leo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za michuano ya Ubingwa wa Mataifa wa Mataifa ya Afrika (CHAN), inayohusisha wachezaji wanaocheza ligi za nchini mwao pekee dhidi ya wenyeji, Uganda, The Cranes kwenye Uwanja wa Mandela, Namboole mjini Kampala, Uganda. The Cranes ilishinda 3-1 na kufanya ushindi wa jumla wa 4-1, baada ya awali kushinda 1-0 wiki mbili zilizopita mjini Dar es Salaam, hivyo imefuzu kucheza CHAN mwakani Afrika Kusini. 

    Simon Msuva akimtoka Habib Kavuma

    Mrisho Ngassa (kulia) na Athumani Iddi 'Chuji' wakigombea mpira na Nahodha wa Uganda, Hassan Waswa

    Nicolas Wadada wa Uganda, akimdhibiti Mrisho Ngassa 

    Amri Kiemba akipambana na wachezaji wa Uganda

    John Bocco akipiga kichwa katikati ya msitu wa wachezaji wa Uganda

    Kevin Yondan akiondosha mpira hatarini kwa kichwa dhidi ya mchezaji wa Uganda

    Ngassa na Wadada

    Salum Abubakar 'Sure Boy' akipiga shuti katikati ya wachezaji wa Uganda

    Chuji kulia na Said Kyevune wa Uganda kushoto

    Chuji akiondosha mpira kwenye hatari dhidi ya Habib Kavuma

    Frank Kalanda akimdhibiti Mrisho Ngassa

    Frank Domayo alilazimika kumsaidia sana David Luhende leo kabla ya kuumia na kutoka

    Mrisho Ngassa akiwania mpira dhidi ya wachezaji wawili wa Uganda

    Amri Kiermba akitia krosi pembeni ya Wadada

    Frank Domayo akimtoka Said Kyevune

    Domayo na Kyevune

    Sure Boy akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Uganda

    Domayo akipiga shuti

    Krosi ya Erasto Nyoni ikipitiliza, Ngassa hakuweza kunasa

    Kizaazaa langoni mwa Uganda

    Kocha wa Uganda, Milutin Sredojevic 'Micho' akimpongeza Brian Majwega kwa kazi nzuri

    Chuji anaosha...

    Kipa wa Uganda, Hassan Muwonge akidaka mpira dhidi ya Mrisho Ngassa kufuatia krosi ya Nyoni

    Muwonge akidaka kiulaini...ufupi ni tatizo wakati mwingine

    11 wa Uganda walioanza leo

    11 wa Stars walioanza leo

    Wajumbe wa Kamati ya Stars, Mh Zitto Zuberi Kabwe (kulia) na Jamal Rwambow wakati wimbo wa taifa wa Tanzania ukichezwa

    Mfungaji wa mabao mawili ya Uganda leo, Frank Kalanda akimfunga tela David Luhende

    Luhende akimdhibiti Majwega

    Wasswa akimpa paja Ngassa...hii aliigundua Gianfranco Zola mwaka 2009 Mrisho alipokuwa West Ham kwa majaribio, akamuambia akaongeze lishe

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: KIFO CHA STARS NAMBOOLE LEO, STARS ILIVYO... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top