• HABARI MPYA

    Tuesday, July 23, 2013

    MAISHA MAGUMU KWA MOYES MAN UNITED...AFUMULIWA 3-2 JAPAN NA VAN PERSIE NDANI LAKINI HAKUFURUKUTA

    IMEWEKWA JULAI 23, 2013 SAA 12:14 JIONI
    MAISHA si mepesi kwa David Moyes bara la Asia. Siyo tu kocha huyo mpya wa Manchester United anavyosotea saini ya kiungo wa Barcelona, Cesc Fabregas, timu yake sasa imepoteza mechi ya pili kati ya tatu za ziara ya kujiandaa na msimu.
    Mchezo huo ulikuwa mgumu kuliko wa Jumamosi dhidi ya A-League All-Stars mjini Sydney na Manchester United imefungwa mabao 3-2 na Yokohama nchini Japan.
    Baada ya kutanguliwa kwa bao la mapema sekunde ya 27, United ilipigana kiume na kufanikiwa kuongoza kwa mabao 2-1 hadi mapumziko baada ya Jess Lingard kusawazisha dakika ya 19 na beki wa Marinos, Masakazu Tashiro kujifunga dakika ya 31.
    In it goes: Marquinhos scores the opener after just 27 seconds of play
    Marquinhos akifunga bao la kwanza sekunde ya 27
    Me again: Jesse Lingard (right) has been on fine form and scored United's equaliser
    Jesse Lingard (kulia) amekuwa katika kiwango kizuri na ameifungia bao United leo
    Kikosi cha Man United kilikuwa: De Gea; Fabio, Jones, Evans/Smalling, Evra, Anderson, Cleverley, Zaha/Giggs, Lingard/Ashley Young, Januzaj/Kagawa na Van Persie/Welbeck.Lakini timu ya Japanese ikasawazisha haraka kipindi cha pili na ikapata bao la ushindi zikiwa zimesalia dakika tatu, wakati Yoshihito Fujita aliyetokea benchi alipomtungua David de Gea kutoka umbali wa mita 12, baada ya Jin Hanato kuwatoka Patrice Evra na Phil Jones upande wa kushoto.
    Yokohama: Enomoto, Dutra, Aguiar, Tashiro, Kobayahsi, Nakamura, Hyodo, Tomisawa, Nakamachi, Marquinhos na Sato.
    Goal threat: Robin van Persie tries to tease the ball past Yokohama Marinos defender Masakazu Tashiro
    Robin van Persie akijaribu kumtoka beki wa Yokohama Marinos, Masakazu Tashiro
    Nice touch: Van Persie is also closed down by Japanese defender Yuzo Kobayashi
    Van Persie akipiga mpira mbele ya beki wa Kijapan, Yuzo Kobayashi
    Off to a flyer: United youngster Adnan Januzaj fights for the ball with Dutra (top) during the first half
    Kinda wa United, Adnan Januzaj akigombea mpira na Dutra 
    Heroes: Two supporters hold up pictures on Shinji Kagawa and Robin van Persie
    Mashabiki wawili wa wakimsapoti Shinji Kagawa na Robin van Persie
    Eager to impress: Wilfried Zaha was in decent form as he tried to beat his man every time he received the ball
    Wilfried Zaha yuko vizuri
    Threading it through: Shinji Kagawa looked ecstatic to be playing for United in his home country
    Shinji Kagawa alikuwa kivutio
    Looking on: David Moyes cuts a stern figure on the touchline as he watches Danny Welbeck re-start the game
    David Moyes akimuangalia Danny Welbeck akirusha mpira
    Close-up: Lingard nets from close range after excellent work from Wilfried Zaha
    Lingard akifunga badaa ya kazi nzuri ya Wilfried Zaha
    Hero: Shinji Kagawa (left) is a favourite of the Japanese public after successes for club and country
    Shinji Kagawa (kushoto)  aling'ara akicheza nyumbani
    Good run out? Danny Welbeck tries to shake his marker as he hurtles towards the Yokohama goal
    Danny Welbeck akipambana
    Red army: Young United fans gather at the stadium to watch the club turn out for action
    Wajeshi Wekundu: Mashabiki watoto wa United 
    Top dog: Japan star Kagawa is an extremely popular figure in his country
    Mashabiki wa Japan wakiwa wamevaa jezi ya nyota wa United, Kagawa
    Top dog: Japan star Kagawa is an extremely popular figure in his country
    Nyota wa Japan, Kagawa anapendwa mno nyumbani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAISHA MAGUMU KWA MOYES MAN UNITED...AFUMULIWA 3-2 JAPAN NA VAN PERSIE NDANI LAKINI HAKUFURUKUTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top