Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United na England, Wayne Rooney akijimwagia maji wakati wa mazoezi ya timu yake mpya, DC United jana kujiandaa na mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya Marekani (MLS) dhidi ya Vancouver Whitecaps Julai 10 baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 kujiunga na timu hiyo Washington DC akitokwa Everton ya kwao, England mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' Frank Vogel Calls Anthony Davis' 50-Point Night 'One for the Ages'
-
Los Angeles Lakers big man Anthony Davis turned back the clock during his
team's 142-125 victory over the Minnesota Timberwolves on Sunday. "An
old-school ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment