Kipa Mjerumani wa Liverpool, Loris Karius akiwa amekasirika baada ya kufungwa mabao ya kizembe katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Prenton Park timu yake ikishinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Tranmere Rovers. Karius aliyefungwa kizembe kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Real Madrid kwa makosa ya jana, wazi ana shughuli pevu kuendelea kuwa kipa wa kwanza wa timu. Mabao ya Wekundu hao jana yalifungwa na Rafael Camacho, Sheyi Ojo na Adam Lallana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mathew Cudjoe wins Scottish Championship with Dundee United to seal Premier
League return
-
Matthew Cudjoe and his Dundee United side have clinched the Scottish
Championship title with one match remaining, thereby securing automatic
promotion to t...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment