RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia mfano wa Hundi ya Shilingi Milioni 500 kwa ajili ya Mashindano yanayohusu timu za taifa jana Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Fedha hizo zimetolewa na Wafanyabiashara wa Zanzibar katika kumuunga mkono Rais Samia kwenye michezo jana. Kushoto ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishuhudia.
GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment