MSHAMBULIAJI Mreno, Cristiano Ronaldo akiwa mazoezini na klabu yake, Manchester United Uwanja wa Carrington kufuatia kukamilisha uhamisho wa kurejea baada ya miaka 12 tangu aondoke.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 36 amejiunga tena na Man United kwa ada ya Pauni Milioni 19.8 kutoka Juventus kufuatia kuichezea Real Madrid tangu aondoke England
0 comments:
Post a Comment