MSHAMBULIAJI Mreno, Cristiano Ronaldo akiwa mazoezini na klabu yake, Manchester United Uwanja wa Carrington kufuatia kukamilisha uhamisho wa kurejea baada ya miaka 12 tangu aondoke. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 36 amejiunga tena na Man United kwa ada ya Pauni Milioni 19.8 kutoka Juventus kufuatia kuichezea Real Madrid tangu aondoke England
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment