BIN KLEB, SEIF MAGARI WATEULIWA KAMATI YA USHINDI YANGA
KAMATI ya Utendaji ya Yanga imewateua wanachama maarufu na viongozi wa zamani wa klabu hiyo, Seif Ahmed 'Seif Magari' na Abdallah Ahmed Bin Kleb kuwa sehemu ya Kamati ya Mashindano ya klabu. Taarifa ya klabu leo imesema kwamba Kamati hiyo itakuwa chini ya Mwenyekiti, Rodgers Gumbo, wakati Wajumbe wengine ni Hamad Islam, Lucas Mashauri, Davis Mosha, Arafat Haji, Hersi Said na Pelegrinius Rutayuga.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment