Henrikh Mkhitaryan akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 86 katika sare ya 1-1 na Wolverhampton leo Uwanja wa Emirates kufuatia Ivan Cavaleiro kutangulia kuwafungia Wolves dakika ya 13 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Invincibles This Week: Two draws, but two to go...
-
Take a look at what was going on around the world and on the pitch 20 years
ago this week during our Invincibles campaign
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment