Sergio Aguero akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 48 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya 12 na Ilkay Gundogan dakika ya 86, wakati la Man United limefungwa na Anthony Martial kwa penalti dakika ya 58, baada ya Romelu Lukaku kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I was stuck in the Secret Service's steel ring around Madison Square
Garden... this is what I saw
-
New York does not do things quietly at the best of times but this was
something beyond even the city's usual flair for the dramatic - Midtown
Manhattan was...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment