Mshambuliaji Mtanzania wa KRC Genk, Mbwana Samatta akiwa juu kupiga kichwa dhidi ya mabeki wa Besiktas ya Uturuki, Mcroatia Domagoj Vida (kulia) na Mreno Pepe (kushoto) katika mchezo wa Kundi I UEFA Europa League Uwanja wa Luminus Arena jana timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mbwana Samatta akipiga kichwa dhidi ya beki wa Besiktas ya Uturuki, Domagoj Vida (kulia)
Mbwana Samatta akimuangukia kipa wa Besiktas, Mturuki Tolga Zengin katika harakati za kusaka mabao jana
Tolga Zengin jana akimtolea maneno makali Mbwana Samatta pamoja na kwamba alikuwa anaugulia maumivu chini
Mbwana Samatta akipambana kuwnaia mpira wa juu jana Uwanja wa Luminus Arena mjnini Genk
Mbwana Samatta akiuelekea mpira baada ya beki Mcroatia wa Besiktas, Domagoj Vida kuanguka chini. Kushoto ni kipa Tolga Zengin
Roy Keane calls Erling Haaland a 'SPOILED BRAT' after his furious reaction
to coming off against Wolves as Man United legend reignites bitter war of
words with the Man City striker
-
Roy Keane has slammed Erling Haaland for his reaction to his substitution
against Wolves at the weekend.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment