Olivier Giroud (kulia) akiifungia Chelsea bao pekee dakika ya 52 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, BATE kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League Uwanja wa Belarus Arena mjini Belarus jana, hilo likiwa bao lake la kwanza katika miezi mitano na kuipeleka The Blues hatua ya 32 Bora ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks' Tom Thibodeau Reacts to Jimmy Butler's Video, Jokes He'd 'Beat Him
to a Pulp'
-
New York Knicks head coach Tom Thibodeau laughed off comments from Jimmy
Butler in which the Miami Heat star joked he'd beat his old coach "to a
pulp." Asked…
2 minutes ago
0 comments:
Post a Comment