Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kufungwa 4-3 na Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camo Nou. Mabao ya Real Betis yamefungwa na 20' Junior Firpo dakika ya 20, Joaquin dakika ya 34, Giovani. Lo Celso dakika ya 71 na 83' Canales dakika ya 83, wakati ya Barcelona yamefungwa na Messi mawili, moja kwa penalti dakika ya 68 na lingine dakika ya 90 na ushei na Arturo Vidal dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cameron Young breaks Matt Fitzpatrick's heart to win Players Championship
and take home $4.5m prize money after dramatic final round
-
After Ludvig Aberg threw away a final-round lead, Young made a crucial
birdie on the par-three 17th to set up a one-hole showdown with England's
world No 24.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment