Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kufungwa 4-3 na Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camo Nou. Mabao ya Real Betis yamefungwa na 20' Junior Firpo dakika ya 20, Joaquin dakika ya 34, Giovani. Lo Celso dakika ya 71 na 83' Canales dakika ya 83, wakati ya Barcelona yamefungwa na Messi mawili, moja kwa penalti dakika ya 68 na lingine dakika ya 90 na ushei na Arturo Vidal dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jalen Brunson on Knicks' Playoff Record 47 Points: 'I'll Look Back When I
Retire'
-
Jalen Brunson had a historic game against the Philadelphia 76ers on Sunday,
but the New York Knicks star isn't soaking up the accomplishment just yet.
Brun...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment