David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham winning jockey whose mum tried to find him a girlfriend on live
TV releases hilarious video dating profile - and lists 'riding horses' as
one of his hobbies!
-
Tom Bellamy, 31, rode 40/1 shot White Noise to victory in the Mares'
Novices' Hurdle on the third day of the festival, with the horse powering
through to c...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment