David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'That was one of the funniest things Mary’s done'
-
In the first episode of the Tooney and Russo podcast, Lionesses Ella Toone
and Alessia Russo discuss the time their England team-mate Mary Earps made
Ella ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment