David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sarah Palin's NHL legend boyfriend found unconscious at home and rushed to
hospital... five months after revealing cancer diagnosis
-
The 69-year-old hockey icon - who publicly revealed earlier this year that
he is battling stage IV colon cancer - fainted at his residence before
being tra...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment