David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thune says Senate to consider voting bill but pushes back on demands for
'talking filibuster'
-
WASHINGTON (AP) — Majority Leader John Thune said Tuesday that the Senate
will consider a bill to impose strict new proof-of-citizenship requirements
in el...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment