Kipa wa Valencia, Neto akichupia mpira kudaka mbele ya mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa Jumanne Uwanja wa Old Trafford. Huo ni mchezo wa nne mfululizo Man United inacheza bila kushinda, baada za sare ya 1-1 na Wolverhampton, 2-2 Derby County kisha kutolewa kwa penalti kwenye Kombe la Ligi na kufungwa 3-1 na West Ham United, jambo ambalo linaweza kumuweka pabaya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spurs replace keeper Kinsky in 17th minute after horror start
-
Tottenham replace goalkeeper Antonin Kinsky in the 17th minute after
conceding three goals inside the opening quarter of an hour of the
Champions League la...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment