Kipa wa Valencia, Neto akichupia mpira kudaka mbele ya mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa Jumanne Uwanja wa Old Trafford. Huo ni mchezo wa nne mfululizo Man United inacheza bila kushinda, baada za sare ya 1-1 na Wolverhampton, 2-2 Derby County kisha kutolewa kwa penalti kwenye Kombe la Ligi na kufungwa 3-1 na West Ham United, jambo ambalo linaweza kumuweka pabaya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Timberwolves coach Chris Finch is injured by his own player after brutal
collision with Mike Conley... as concerned players surround 54-year-old
before he limps away late on in playoff win vs the Suns
-
Finch was sent tumbling to the ground when Timberwolves star Mike Conley
evaded a challenge from Devin Booker and moved towards the sideline before
hitting...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment