Kipa wa Valencia, Neto akichupia mpira kudaka mbele ya mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa Jumanne Uwanja wa Old Trafford. Huo ni mchezo wa nne mfululizo Man United inacheza bila kushinda, baada za sare ya 1-1 na Wolverhampton, 2-2 Derby County kisha kutolewa kwa penalti kwenye Kombe la Ligi na kufungwa 3-1 na West Ham United, jambo ambalo linaweza kumuweka pabaya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sarah Palin's NHL legend boyfriend found unconscious at home and rushed to
hospital... five months after revealing cancer diagnosis
-
The 69-year-old hockey icon - who publicly revealed earlier this year that
he is battling stage IV colon cancer - fainted at his residence before
being tra...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment