Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Juventus mabao yote dakika za tano, 39 na 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Young Boys kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Juventus mjini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Poehling scores early in OT, Ducks push Oilers to the brink
-
Ryan Poehling scored 2:29 into overtime, and Anaheim rallied to take a 3-1
series lead on Connor McDavid and Edmonton.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment