Edin Dzeko (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia AS Roma mabao matatu dakika za tano, 40 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Viktoria Plzen usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Olimpico mjini Roma, Italia. Mabao mengine ya Roma yalifungwa na Cengiz Under dakika ya 64 na Justin Kluivert dakika ya 73, kinda wa miaka 19 aliyefungua akaunti ya mabao kwenye michuano hiyo jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Photo: Pope Francis Gifted Mark Pope Kentucky Jersey by Lexington Priest
-
Mark Pope's hiring as Kentucky's new head basketball coach has now reached
Vatican City. Father Jim Sichko, a Lexington-based priest, presented Pope
Francis…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment