Edin Dzeko (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia AS Roma mabao matatu dakika za tano, 40 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Viktoria Plzen usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Olimpico mjini Roma, Italia. Mabao mengine ya Roma yalifungwa na Cengiz Under dakika ya 64 na Justin Kluivert dakika ya 73, kinda wa miaka 19 aliyefungua akaunti ya mabao kwenye michuano hiyo jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fifa offers $40m if nations back controversial plan
-
Fifa has set a deadline of 19 September for member associations to access
cash as FA voice disapproval of world governing body's funding plan ahead
of emer...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment