Edin Dzeko (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia AS Roma mabao matatu dakika za tano, 40 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Viktoria Plzen usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Olimpico mjini Roma, Italia. Mabao mengine ya Roma yalifungwa na Cengiz Under dakika ya 64 na Justin Kluivert dakika ya 73, kinda wa miaka 19 aliyefungua akaunti ya mabao kwenye michuano hiyo jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League club whose fans will have to fork out nearly
£5,000 to follow their team this season - as staggering new data reveals
where every side ranks, with surprise No 1
-
New data has revealed that it could cost £5,000 to follow the most
expensive team in the Premier League this season home and away - and that's
a conservati...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment