Wachezaji wa Bayern Munich, Niklas Suele, Javi Martinez na Joshua Kimmich wakiondoka kinyonge Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Ajax katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana. Mats Hummels alianza kuwafungia wenyeji dakika ya nne kabla ya Noussair Mazraoui kuwasawazishia dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aberdeen's top-flight status is at serious risk if this managerial debacle
doesn't get sorted out
-
The task of trying to defend the Scottish Cup was Aberdeen's last hope of
salvaging a truly dreadful season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment