Wachezaji wa Bayern Munich, Niklas Suele, Javi Martinez na Joshua Kimmich wakiondoka kinyonge Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Ajax katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana. Mats Hummels alianza kuwafungia wenyeji dakika ya nne kabla ya Noussair Mazraoui kuwasawazishia dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE's real plans for Logan Paul and Patrick Mahomes on RAW
-
On Monday, Mahomes was introduced to the Kansas City faithful at T-Mobile
Center after having arrived at the venue with Paul just hours earlier. His
appear...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment