Beki wa CSKA Moscow, Ilzat Akhmetov akiutelezea mpira miguuni mwa kiungo wa Los Blancos, Marco Asensio pembezoni mwa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow, Urusi usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya. CSKA Moscow ilishinda 1-0, bao pekee la Nikola Vlasic anayecheza kwa mkopo kutoka Everton dakika ya pili tu hivyo Real Madrid kufikisha mechi tatu za kucheza bila kufunga bao kwa mara ya kwanza tangu Januari mwaka 2007 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Tuchel bites back at Bayern Munich chief Uli Hoeness' claims that he
'can't improve players', saying he is 'offended deeply as a coach' and
questions timing ahead of Real Madrid showdown
-
Tuchel (left) is due to leave in the summer and they are reportedly in
talks with Ralf Rangnick to replace him, but more than 17,000 fans have
signed a pet...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment