Beki wa CSKA Moscow, Ilzat Akhmetov akiutelezea mpira miguuni mwa kiungo wa Los Blancos, Marco Asensio pembezoni mwa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow, Urusi usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya. CSKA Moscow ilishinda 1-0, bao pekee la Nikola Vlasic anayecheza kwa mkopo kutoka Everton dakika ya pili tu hivyo Real Madrid kufikisha mechi tatu za kucheza bila kufunga bao kwa mara ya kwanza tangu Januari mwaka 2007 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Embarrassment for USA as woeful loss to Italy risks World Baseball Classic
elimination... despite coach thinking they were already through
-
With a roster stacked with stars such as Aaron Judge, Paul Skenes, Bryce
Harper and Cal Raleigh, the Americans were beaten 8-6 by their rivals in
Pool B an...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment