Mshambuliaji wa Manchester United, Alexis Sanchez akipongezwa na mchezaji mwenzake, Matteo Darmian baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa kirafiki wa Mabingwa wa Kimataifa kujiandaa na msimu Uwanja wa Hard Rock mjini Miami Gardens, Florida, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 27, wakati bao la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chinese Ambassador to Zimbabwe, Zhou Ding, visits China-aided Zimbabwe
National Pharmaceutical Warehouse
-
On July 17, 2026, the Chinese Ambassador to Zimbabwe,Zhou Ding, visited the
China-aided National Pharmaceutical Warehouse.
The post Chinese Ambassador to...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment