Beki wa kati, Samuel Umtiti akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Barcelona dakika ya 51 ikiilaza Valencia 2-1 leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza la Barca limefungwa na Luis Suarez dakika ya 15, kabla ya Dani Parejo kuifungia Valencia kwa penalti dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How a dismal week in the Champions League affects the Premier
League's bid for FIVE spots next season - and why Man United and Co should
have an eye on Thursday's games
-
This means that those countries receive an extra place in the Champions
League, as demonstrated last year when Newcastle came fifth in the Premier
League b...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment