Beki wa kati, Samuel Umtiti akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Barcelona dakika ya 51 ikiilaza Valencia 2-1 leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza la Barca limefungwa na Luis Suarez dakika ya 15, kabla ya Dani Parejo kuifungia Valencia kwa penalti dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lokpobiri pledges FG’s shift toward human capital to sharpen oil sector edge
-
The Minister of State for Petroleum Resources (Oil), Senator Heineken
Lokpobiri, has reaffirmed the Federal Government’s commitment to human
capital deve...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment