Beki wa kati, Samuel Umtiti akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Barcelona dakika ya 51 ikiilaza Valencia 2-1 leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza la Barca limefungwa na Luis Suarez dakika ya 15, kabla ya Dani Parejo kuifungia Valencia kwa penalti dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment