Beki wa kati, Samuel Umtiti akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Barcelona dakika ya 51 ikiilaza Valencia 2-1 leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza la Barca limefungwa na Luis Suarez dakika ya 15, kabla ya Dani Parejo kuifungia Valencia kwa penalti dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'No-one's going to explode' - Enhanced chief says Games will change minds
-
The first staging of the Enhanced Games - an event allowing the use of
banned performance-enhancing drugs - will change perceptions says its new
chief exec...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment