Mshambuliaji mwenye umri wa miaka 21, Mbrazil Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 22 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Tottenham Hotspur leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley mjini London, leo. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Ilkay Gundogan dakika ya 25 kwa penalti na Raheem Sterling dakika ya 72, huku la Spurs likifungwa na Cristian Eriksen dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pyres, Screams and Light: Here are the Best Albums of 2025
-
Join us for Euronews Culture's countdown to our favourite album of the
year. How many have you heard?View on euronews
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment