Mshambuliaji mwenye umri wa miaka 21, Mbrazil Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 22 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Tottenham Hotspur leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley mjini London, leo. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Ilkay Gundogan dakika ya 25 kwa penalti na Raheem Sterling dakika ya 72, huku la Spurs likifungwa na Cristian Eriksen dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jockey at centre of Cheltenham spat accuses rival of 'racially abusing' him
after TV cameras caught foul-mouthed tirade in furious row
-
DOMINIC KING: The British Horseracing Authority are investigating an
allegation of racism after a televised spat between two jockeys on the
second day of t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment