Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu na la ushindi Chelsea dakika ya 78 ikitoka nyuma kwa 2-0 na kushinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Giroud pia alifunga bao la kwanza Chelsea dakika ya 70, kabla ya Eden Hazard kufunga la pili dakika ya 75, wakati mabao ya Watakatifu yalifungwa na Dusan Tadic dakika ya 21 na Jan Bednarek dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Conor McGregor sends Ryan Garcia X-rated threat and tells boxer to 'get
your head together or kill yourself' after positive drugs test
-
Garcia failed anti-doping tests the day before and the day of his upset win
over Devin Haney last month. The 25-year-old tested positive for the
performanc...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment