Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu na la ushindi Chelsea dakika ya 78 ikitoka nyuma kwa 2-0 na kushinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Giroud pia alifunga bao la kwanza Chelsea dakika ya 70, kabla ya Eden Hazard kufunga la pili dakika ya 75, wakati mabao ya Watakatifu yalifungwa na Dusan Tadic dakika ya 21 na Jan Bednarek dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USA narrowly avoids humiliating World Baseball Classic elimination as Italy
beats Mexico with historic home run display from captain
-
The star-studded American team, which features big hitters such as Aaron
Judge and Paul Skenes was left facing the risk of elimination from the
tournament ...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment