Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu na la ushindi Chelsea dakika ya 78 ikitoka nyuma kwa 2-0 na kushinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Giroud pia alifunga bao la kwanza Chelsea dakika ya 70, kabla ya Eden Hazard kufunga la pili dakika ya 75, wakati mabao ya Watakatifu yalifungwa na Dusan Tadic dakika ya 21 na Jan Bednarek dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Against Liverpool it's a good idea to defend! Thomas Frank hits back at
critics who say he's obsessed with opponents
-
The Spurs boss hit back at critics who claim his team are more concerned
with stopping opponents than imposing their own style and warned it might
be a goo...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment