Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 89 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Sevilla Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla usiku wa Jumamosi baada ya kuingia dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Ousmane Dembele. Sevilla walitangulia kwa mabao ya Franco Vazquez dakika ya 36 na Luis Muriel dakika ya 50, kabla ya Luis Suarez kuifungia Barca dakika ya 88 na Messi dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: Magpies are NOT demanding £15-20m from Man United to
end Dan Ashworth's gardening leave... and several players are 'furious'
over prospect of draining post-season trip to Australia
-
CRAIG HOPE:If the FA do introduce new rules banning far-flung end-of-season
friendlies on the grounds of player welfare, it will be welcomed by
sections of...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment