Robert Lewandowski akishangilia baada ya kufunga mabao matatu Bayern Munich dakika za tano, 44 na 87 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Borussia Dortmund leo kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na James Rodriguez dakika ya 14, Thomas Muller dakika ya 23 na Franck Ribery dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Coast champion Chris Lewis reveals he may have played on if AFL acted on racist crowds
-
West Coast Eagles champion Chris Lewis retired before his time in 2000. He
has revealed he might have played on if the AFL acted on racism earlier.
Dakika 31 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni