Robert Lewandowski akishangilia baada ya kufunga mabao matatu Bayern Munich dakika za tano, 44 na 87 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Borussia Dortmund leo kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na James Rodriguez dakika ya 14, Thomas Muller dakika ya 23 na Franck Ribery dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL quarterback who went AWOL over contract talks makes a huge decision
amid ongoing standoff
-
After avoiding his return to the team due to a contract dispute, Arizona
Cardinals quarterback Jacoby Brissett will finally show up at his team's
mandatory...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment