Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia mbele ya mashabiki wa Liverpool baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Msenegali Sadio Mane dakika ya saba na Mbrazil, Roberto Firmino dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Barclays Boosts ONEOK (OKE) Price Target While Maintaining Equal Weight
Rating
-
ONEOK, Inc. (NYSE:OKE) is included among the 14 Low PE High Dividend Stocks
to Buy Right Now. On March 6, Barclays analyst Theresa Chen raised the
firm’s p...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment