Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia mbele ya mashabiki wa Liverpool baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Msenegali Sadio Mane dakika ya saba na Mbrazil, Roberto Firmino dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Darts star thrown out of World Championship after failing drugs test
-
Taylor, 27, cruised to a 3-0 win over Oskar Lukasiak on his Alexandra
Palace debut last Sunday and was due to face Jonny Clayton in the second
round of the...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment