Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia mbele ya mashabiki wa Liverpool baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Msenegali Sadio Mane dakika ya saba na Mbrazil, Roberto Firmino dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden opens up on his desire to become 'one of the best Premier League
players this season' in Mail Sport interview before being crowned FWA
Footballer of the Year
-
The England international has been one of the most eye-catching and
prolific players in the Premier League this season after smashing in 16
goals for Pep G...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment