Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia mbele ya mashabiki wa Liverpool baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Msenegali Sadio Mane dakika ya saba na Mbrazil, Roberto Firmino dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ospreys' Morris bouncing back after toughest year
-
Ospreys number eight Morgan Morris can push for a first Wales call-up by
finishing strongly in the United Rugby Championship, says his coach Mark
Jones.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment