Fernando Torres akiwa chini baada ya kuingia uwanjani jana kuchukua nafasi ya Diego Costa, timu yao Atletico Madrid ikifungwa 1-0 na wenyeji, Sporting Lisbon, bao pekee la Fredy Montero dakika ya 28 Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali UEFA Europa League na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa wa 2-1 kufuatia kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani, Hispania. Atletico inaungana na Arsenal iliyoitoa CSKA Moscow, Salzburg iliyoitoa Lazio na Olympique Marseille iliyoitoa RB Leipzig PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Padres' Updated Lineup, Payroll After Reported Luis Arráez Trade with
Marlins
-
Luis Arráez is reportedly heading to the San Diego Padres after the Miami
Marlins traded him for reliever Woo-Suk Go and prospects Dillon Head, Jakob
Marsee,…
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment