Kikosi cha Arsenal kabla ya mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Europa League dhidi ya CSKA Moscow uliomalizika kwa sare ya 2-2 usiku wa Alhamisi Uwanja wa VEB Arena mjini Moscow nchini Urusi. CSKA Moscow ilitangulia kwa mabao ya Fyodor Chalov dakika ya 39 na Kirill Nababkin dakika ya 50, kabla ya Danny Welbeck na Aaron Ramsey kuisawazishia Arsenal dakika za 75 na 90 na ushei na sasa timu ya Wenger inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 6-3 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: What Peter Obi discussed with Jonathan behind closed doors
-
By Lawrence Agbo Former Labour Party presidential candidate Peter Obi has
revealed details of his closed-door meeting with former President Goodluck
Jona...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment