Beki wa kati, Pepe akimpongeza Manuel Fernandes baada ya kuifungia Ureno dakika ya 32 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Saudi Arabia usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Fontelo mjini Viseu. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 52 na Joao Mario dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Oil slips to two-week low as US and Iran seen moving closer to deal
-
By Ahmad Ghaddar LONDON, May 25 (Reuters) - Oil prices fell nearly 6% to
two-week lows on Monday as optimism grew that the United States and Iran
were movi...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment