Beki wa kati, Pepe akimpongeza Manuel Fernandes baada ya kuifungia Ureno dakika ya 32 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Saudi Arabia usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Fontelo mjini Viseu. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 52 na Joao Mario dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics cruise past Heat to reach play-off semis
-
The Boston Celtics maintain their good form to cruise past the Miami Heat
into the Eastern Conference play-off semi-finals.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment