Beki wa kati, Pepe akimpongeza Manuel Fernandes baada ya kuifungia Ureno dakika ya 32 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Saudi Arabia usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Fontelo mjini Viseu. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 52 na Joao Mario dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This isn't the first time Liam Rosenior has brought heat on himself with a
goalkeeping gamble - here's why he will back Filip Jorgensen despite PSG
errors... and what Chelsea will do with their goalkeepers this summer
-
KIERAN GILL: While it is hard not to think Liam Rosenior has created an
unnecessary headache for himself, history tells us Chelsea's headstrong
head coach ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment