Mshambuliaji wa Barcelona, Paco Alcacer (kushoto) akishangilia mbele ya beki Gerard Pique baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Real Murcia kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alcacer alifunga dakika ya 16, Pique 56 na mabao mengine yalifungwa na Aleix Vidal dakika ya 60, Denis Suarez dakika ya 74 na Jose Arnaiz dakika ya 79. Ushindi unamaanisha Barca inatinga 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa 8-0 baada ya kushinda 3-0 kwenye mechi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup: Scaloni provides fresh update on Messi’s fitness
-
Lionel Messi has made progress in his injury recovery and may play a few
minutes in Argentina's forthcoming friendlies before their World Cup
The post 20...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment