David Haye akionyesha sehemu aliyofanyiwa upasuaji katika mkono wake baada ya kuanguka kwenye ngazi alipokuwa akifanya mazoezi na kusababisha ajitoe kwenye pambano la marudiano dhidi ya Tony Bellew lililopangwa kufanyika Desemba 17 ukumbi wa O2 baada ya kupigwa na mpinzani wake huyo awali kwa KO raundi ya 11 Machi mwaka huu. Pambano lingine sasa linaweza kufanyika Machi 24 au Mei 5 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the incredible plans to transform the Pyramids of Giza into a
heavyweight boxing venue for Oleksandr Usyk's historic fight
-
Oleksandr Usyk will swap packed stadiums for one of the most extraordinary
settings sport has ever seen when he takes on former kickboxing champion
Rico Ve...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment