David Haye akionyesha sehemu aliyofanyiwa upasuaji katika mkono wake baada ya kuanguka kwenye ngazi alipokuwa akifanya mazoezi na kusababisha ajitoe kwenye pambano la marudiano dhidi ya Tony Bellew lililopangwa kufanyika Desemba 17 ukumbi wa O2 baada ya kupigwa na mpinzani wake huyo awali kwa KO raundi ya 11 Machi mwaka huu. Pambano lingine sasa linaweza kufanyika Machi 24 au Mei 5 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia blames Ukrainian drones for attack on LNG ship in Mediterranean
-
MOSCOW, March 4 () - Russia's transport ministry on Wednesday accused
Ukrainian naval drones of attacking a Russian liquefied natural gas
carrier, the Ar...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment