David Haye akionyesha sehemu aliyofanyiwa upasuaji katika mkono wake baada ya kuanguka kwenye ngazi alipokuwa akifanya mazoezi na kusababisha ajitoe kwenye pambano la marudiano dhidi ya Tony Bellew lililopangwa kufanyika Desemba 17 ukumbi wa O2 baada ya kupigwa na mpinzani wake huyo awali kwa KO raundi ya 11 Machi mwaka huu. Pambano lingine sasa linaweza kufanyika Machi 24 au Mei 5 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea 1-1 Leicester: The Blues drop more points
-
Chelsea dropped more points at Stamford Bridge following a 1-1 draw with
Leicester City on Thursday evening. James Maddison opened the scoring for
the vis...
Dakika 27 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni