Borja Mayoral akishangilia baada ya kufingia mabao yote mawili Real Madrid dakika za 62 na 70 ikitoa sare ya 2-2 na Fuenlabrada katika mchezo wa Kombe a Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Fuenlabrada yalifungwa na Luis Milla dakika ya 25 na Alvaro Portilla dakika ya 89 na Real inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-2 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why exasperated - and maybe broken - Ruben Amorim may have already said too
much to the players he wants to sign at Man United, writes RIATH AL-SAMARRAI
-
Honest is a fine thing. For Ruben Amorim, it might be all he has. But is it
the best policy? Does it help? Has he heard of Gerald Ratner?
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment