Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Bayern Munich katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Anderlecht dakika ya 51 Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Bruxelles, ambalo linakuwa la 50 kwa klabu yake msimu huu. Bao lingine la Bayern Munich limefungwa na Corentin Tolisso dakika ya 77 na la Anderlecht limefungwa na Sofiane Hanni dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United bids for Sergej Milinkovic-Savic
-
La Repubblica reports that Manchester United has a bid to Lazio for
midfielder Sergej Milinkovic-Savic. With the departure of Nemanja Matic,
United are in ...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni