Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Bayern Munich katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Anderlecht dakika ya 51 Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Bruxelles, ambalo linakuwa la 50 kwa klabu yake msimu huu. Bao lingine la Bayern Munich limefungwa na Corentin Tolisso dakika ya 77 na la Anderlecht limefungwa na Sofiane Hanni dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia blames Ukrainian drones for attack on LNG ship in Mediterranean
-
MOSCOW, March 4 () - Russia's transport ministry on Wednesday accused
Ukrainian naval drones of attacking a Russian liquefied natural gas
carrier, the Ar...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment