• HABARI MPYA

    Thursday, November 23, 2017

    LEWANDOWSKI AFUNGA BAO ZURI, BAYERN MUCIH YASHIDA

    Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Bayern Munich katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Anderlecht dakika ya 51 Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Bruxelles, ambalo linakuwa la 50 kwa klabu yake msimu huu. Bao lingine la Bayern Munich limefungwa na Corentin Tolisso dakika ya 77 na la Anderlecht limefungwa na Sofiane Hanni dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEWANDOWSKI AFUNGA BAO ZURI, BAYERN MUCIH YASHIDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top