Romelu Lukaku akiwa amemrukia mchezaji mwenzake wa Manchester United, Ashley Young kumpongeza baada ya kufunga bao pekee dakika ya 66 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brighton and Hove Albion kufuatia shuti lake kumbabatiza Lewis Dunk na kutinga nyavuni Uwanja wa Old Trafford leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who's Really to Blame for Lakers' 0-3 Playoffs Deficit to Denver Nuggets?
-
When the Los Angeles Lakers jumped out to an 8-0 lead against the Denver
Nuggets in Game 3 of their first-round series, you could almost feel the
script…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment